KUITWA Kwenye Usaili MOI, GST, CBE, TPDC, TAA, TAWIRI, TPC, TIRDO na IAE 12/03/2026

KUITWA Kwenye Usaili MOI, GST, CBE, TPDC, TAA, TAWIRI, TPC, TIRDO na IAE 12/03/2026
KUITWA Kwenye Usaili MOI, GST, CBE, TPDC, TAA, TAWIRI, TPC, TIRDO na IAE 12/03/2026
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika
Utumishi wa Umma kwa niaba ya
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzani
(TPDC), Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST), Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI),, Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (IAE), Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO), Shirika la Posta Tanzania (TPC), Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 31/05/2025 hadi 03/06/2026 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.
Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa maelekezo yafuatayo kwenye PDF hapa chini.
DONWLOAD PDF HAPA
Tags: CBE, GST, KUITWA Kwenye Usaili MOI, TAA, TAWIRI, TIRDO na IAE 12/03/2026, TPC, TPDC
