KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Gairo District Council

KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Gairo District Council
KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Gairo District Council
Kwa madhumuni ya uendeshaji wa uchaguzi mkuu na kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 6 (6) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya Mwaka 2024, kikisomwa pamoja na kanuni ya 11 ya Kanuni za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za Mwaka 2025, Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Gairo anawatangazia waombaji wafuatao kufika kwenye usaili kuanzia Tarehe 06/10/2025 mpaka 11/10/2025 katika kumbi mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Gairo, muda wa usaili ni kama inavyoonekana kwenye ratiba.
Aidha kila msailiwa afike na vyeti vifuatavyo:
- Cheti cha kumaliza kidato cha nne.
- Cheti cha Taaluma.
- Cheti cha kuzaliwa.
- Kitambulisho cha NIDA/Kura.
Tags: KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Gairo District Council
