KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Njombe District Council

KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Njombe District Council
KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Njombe District Council
Kwa madhumuni ya uendeshaji wa uchaguzi mkuu na kwa kuzingatia
masharti ya kifungu cha 6 (6) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya Mwaka 2024, kikisomwa pamoja na kanuni ya 11
ya Kanuni za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za Mwaka 2025, Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Lupembe anawatangazi Wwaombaji wafuatao kufika kwenye usaili Tarehe 16.10.2025 katika UKUMBI wa Shule ya Sekondari Mtwango kuanzia saa 3.00 Asubuhi.
DONWLOAD PDF YA MAJINA HAPA
Tags: KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Njombe District Council
