MAGAZETI ya Leo Jumamosi 23 August 2025

Filed in Magazetini Leo by on 23.08.2025 0 Comments
Share This Post
MAGAZETI ya Leo Jumamosi 23 August 2025

MAGAZETI ya Leo Jumamosi 23 August 2025

MAGAZETI ya Leo Jumamosi 23 August 2025

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars imekuwa timu ya pili wenyeji wa michuano ya CHAN 2024 kuaga mashindano hayo baada ya kufungwa bao 1-0 dhidi ya Morocco.

Mchezo huo uliochezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam umeifanya Stars kuungana na Kenya iliyoondoshwa na Madagascar kwa mikwaju ya penati hapo Katika Robo Fainali ya Kwanza.

Aidha Uganda ndiyo wenyeji pekee waliobakia kwenye mashindano hayo ambapo itashuka dimbani Leo Agosti 23, 2025 dhidi ya Senegal.

Share This Post

Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *