NAFASI Za Kazi SJUIT University

NAFASI Za Kazi SJUIT University
NAFASI Za Kazi SJUIT University
Chuo Kikuu cha Mtakatifu Joseph nchini Tanzania (SJUIT) nichuo kikuu cha kibinafsi kilichopo Dar es Salaam, Tanzania.
Kinajulikana kwa kuzingatia kutoa Elimu bora, inayoweza kuajiriwa, haswa katika uhandisi, ICT, elimu ya sayansi, na nyanja za matibabu/madaktari.
Chuo hicho ni sehemu ya Kundi la taasisi za DMI ambalo linajumuisha taasisi zingine nchini Tanzania, Zambia, na Malawi.
Chuo hicho kinatafuta Watu wenye nia, ari pamoja na sifa stahiki kujaza nafasi Mbalimbali zilizoanishwa hapa chini.
KUTUMA MAOMBI BOFYA HAPA
