IFM Selected Applicants 2025/2026

IFM Selected Applicants 2025/2026
IFM Selected Applicants 2025/2026
Chuo Cha Usimamizi Wa Fedha (IFM) kinapenda kuwajulisha Wanafunzi wote waliopangiwa nafasi za masomo na ofisi ya Rais-tamisemi katika chuo cha usimamizi wa fedha (IFM) katika matawi yake yote (Dar-es-salaam Campus, Mwanza Campus, Dodoma Campus, na Simiyu Campus) kutembelea tovuti ya Chuo: https://ems.ifm.ac.tz/application, ili kupata maelekezo namna ya kuthibitisha na namna ya kujiunga na chuo.
Masomo yataanza mwezi wa kumi (oktoba) endapo kutakuwa na mabadiliko ya tarehe ya kuanza masomo mtatarifiwa.
Orodha ya Majina ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Chuo Cha Usimamizi Wa Fedha (IFM) yameoorodheshwa hapa chini kwenye PDF.
JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF YA MAJINA
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.
