NAFASI 20 Za Kazi Kada Za Afya Mkoa wa Mbeya

Filed in Ajira by on 09.09.2025 3 Comments
Share This Post
NAFASI 20 Za Kazi Kada Za Afya Mkoa wa Mbeya

NAFASI 20 Za Kazi Kada Za Afya Mkoa wa Mbeya

NAFASI 20 Za Kazi Kada Za Afya Mkoa wa Mbeya

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mbeya Kwa Kushirikiana na Mdau HJMRI anapenda Kuwatangazia Wananchi wote Nafasi za Kazi Ishirini (20) za Ajira ya Mkataba Kwa Kada za Afya Watakaofanya Kazi Katika Halmashauri za Mkoa wa Mbeya.

Nafasi hizo ni; Daktari II, Afisa Tabibu II, Afisa Tabibu Msaidizi, Afisa Muuguzi Msaidizi II, Muuguzi II, Mteknolojia Maabara (Laboratory Technologist) II, Afisa Mteknolojia Maabara (Laboratory Scientist) II, Mtunza Kumbukumbu Msaidizi II na Afisa Tehama

Wananchi wenye Sifa Kwa Kila Kada Waombe Nafasi hizo Kwa Kuzingatia Sifa ngazi ya Mshahara Kama zilivyoainishwa Kwenye Tangazo lililoambatanishwa (Employment Opportunites -Mbeya) hapa chini.

Mwisho wa Kutuma maombi ni tarehe 12 Septemba, 2025

BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF YA TANGAZO

JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, GROUP NO 2 HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA, GROUP NO 3 HAPA, GROUP NO 4 HAPA


Share This Post

Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *