NAFASI Za Kazi UN Women Tanzania

NAFASI Za Kazi UN Women Tanzania
NAFASI Za Kazi UN Women Tanzania
UN Women Tanzania kazi yake ni kukuza usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake nchini.
UN Women inaangazia uongozi wa wanawake, uwezeshaji wa kiuchumi, kukomesha unyanyasaji dhidi ya wanawake, na haki za wanawake na upatikanaji wa haki.
Kazi za UN Women nchini Tanzania zinawiana na malengo ya maendeleo ya taifa, Malengo ya Maendeleo Endelevu, na mpango mkakati wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa wa Wanawake.
UN Women Tanzania inatafuta watu wenye nia, ari pamoja na sifa tajwa kujaza nafasi Mbalimbali zilizoanishwa hapa chini kwenye Tangazo la Ajira hizo.
JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?BONYEZA HAPA KUTUMA MAOMBI
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.
