KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Sumbawanga Municipal Council

KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Sumbawanga Municipal Councilw
KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Sumbawanga Municipal Council
Kwa madhumuni ya uendeshaji wa uchaguzi mkuu na kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 6 (6) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya Mwaka 2024, kikisomwa pamoja na kanuni na Madiwani za Mwaka 2025, Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Sumbawanga Mjini anawatangazia waombaji wafuatao kufika kwenye usaili Tarehe 14.10.2025 Siku ya Jumanne, katika Shule ya Sekondari Kizwite kuanzia saa 1.00 Asubuhi.
DONWLOAD PDF DOCUMENT HAPA
Tags: KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Sumbawanga Municipal Council
