LIBASSE Gueye ni Mnyama

Filed in Michezo, Usajili by on 17.01.2026 0 Comments
Share This Post
LIBASSE Gueye ni Mnyama

LIBASSE Gueye ni Mnyama

LIBASSE Gueye ni Mnyama

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Klabu ya Simba imekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji, Libasse Gueye mwenye Umri wa miaka 22 kutoka klabu ya Teungueth FC ya kwao Senegal.

Nyota huyo ambaye alikuwemo kwenye kikosi cha Senegal kilichoshiriki michuano ya CHAN 2024 iliyofanyika nchini mwaka jana, anakuwa usajili wa kwanza kutambulishwa na Simba katika dirisha hili dogo la Usajili.

Gueye anamudu kucheza eneo lote la ushambuliaji au winga upande wa kulia na kushoto.

Share This Post

Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *