KUITWA Kazini Tume ya Utumishi wa Mahakama 2026

KUITWA Kazini Tume ya Utumishi wa Mahakama 2026
KUITWA Kazini Tume ya Utumishi wa Mahakama 2026
Kufuatia kukamilika kwa usaili wa nafasi za kazi kwa kada mbalimbali zilizotangazwa na Tume ya Utumishi wa Mahakama tarehe 17 Novemba, 2025, Katibu wa Tume ya Utumishi wa Mahakama anawatangazia waombaji wafuatao hapa chini kuwa, wamefaulu usaili na kuchaguliwa kuajiriwa katika Utumishi wa Mahakama.
Wahusika wote watatumiwa barua zao za ajira kwenye barua pepe zao (email) na kufuata maelekezo yaliyotolewa kwenye barua husika.
Kwa wale ambao majina yao hayakutokea katika Tangazo hili, wafahamu kuwa kwa sasa hawajafanikiwa kupata ajira kwa nafasi tajwa.
JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?DONWLOAD PDF YA MAJINA HAPA
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.
