KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Morogoro District Council

KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Morogoro District Council
KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Morogoro District Council
Kwa madhumuni ya uendeshaji wa uchaguzi mkuu na kwa kuzingatia
masharti ya kifungu cha 6 (6) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya Mwaka 2024, kikisomwa pamoja na kanuni ya 11 ya Kanuni za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za Mwaka 2025, Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Morogoro Kusini na Morogoro Kusini Mashariki anawatangazia waombaji wafuatao kufika kwenye usaili siku ya Jumatatu Tarehe 13/10/2025 katika maeneo yaliyoainishwa hapa chini kuanzia saa 2:00 Asubuhi.
DONWLOAD PDF YA MAJINA HAPA
Tags: KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Morogoro District Council
