KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Mpanda Town Council

KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Mpanda Town Council
KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Mpanda Town Council
KWA MADHUMUNI YA UENDESHAJI WA UCHAGUZI MKUU NA
KWA KUZINGATIA MASHARTI YA KIFUNGU CHA 6 (6) CHA
SHERIA YA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI NA.
1 YA MWAKA 2024, KIKISOMWA PAMOJA NA KANUNI YA 11 YA
KANUNI ZA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI ZA
MWAKA 2025, MSIMAMIZI WA UCHAGUZI WA JIMBO LA
MPANDA MJINI ANAWATANGAZIA WAOMBAJI WAFUATAO
KUFIKA KWENYE USAILI TAREHE 14 OKTOBA KATIKA OFISI ZA
KATA KUANZIA SAA 1:30 ASUBUHI.
Tags: KUITWA Kwenye Usaili Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Mpanda Town Council
