NAFASI Za Kazi Mbeya Cement Limited

Filed in Ajira by on 06.02.2026 0 Comments
Share This Post
NAFASI Za Kazi Mbeya Cement Limited

NAFASI Za Kazi Mbeya Cement Limited

NAFASI Za Kazi Mbeya Cement Limited

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Mbeya Cement Company Limited (MCCL), au Tembo Cement iliyoanzishwa mwaka 1973 ni mtengenezaji wa saruji kutoka Tanzania mwenye kiwanda kilichounganishwa kikamilifu katika Mkoa wa Mbeya.

Mbeya Cement Company Limited imekuwa ikifanya kazi kwa zaidi ya miaka 40, awali ikimilikiwa na serikali ya Tanzania, na baadaye kubinafsishwa na kununuliwa na Lafarge kabla ya kununuliwa na Amsons Group.

Kampuni hiyo inazalisha klinka, saruji na vifaa vingine vya ujenzi, vyenye uwezo wa kuzalisha takriban tani milioni 1.1 kwa mwaka.

Mbeya Cement inatafuta watu wenye nia ari pamoja na sifa stahiki kujaza nafasi zilizoanishwa hapa chini kwenye PDF.

Nafasi Mpya Za Kazi Kutoka Mbeya Cement.

DONWLOAD PDF HAPA

Share This Post

Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *