TCU yaongeza muda wa Udahili wa Shahada ya Kwanza 2025/2026

TCU yaongeza muda wa Udahili wa Shahada ya Kwanza 2025/2026
TCU yaongeza muda wa Udahili wa Shahada ya Kwanza 2025/2026
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imeongeza muda wa Udahili wa Shahada ya Kwanza katika Vyuo vya Elimu ya Juu Nchini.
Dirisha la Udahili awamu hii ya tatu na ya mwisho litafunguliwa kuanzia tarehe 6 hadi 10 Oktoba, 2025

Tags: TCU yaongeza muda wa Udahili wa Shahada ya Kwanza 2025/2026
