nijuze's Latest Posts

NAFASI Za Kazi Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara

Filed in Ajira by on 18.12.2025 0 Comments
NAFASI Za Kazi Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara

NAFASI Za Kazi Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara, kupitia Wizara ya Afya inatangaza nafasi za kujitolea kwa kada zifuatazo:- ✅AFISA MUUGUZI MSAIDIZI DARAJA LA II NAFASI (6) SIFA ZA MWOMBAJI:- a)Mwombaji awe na Stashahada (Diploma) ya Uuguzi, kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali. b)Awe amesajiliwa na Baraza […]

Continue Reading »

NAFASI Za Kazi Chuo Kikuu Mzumbe

Filed in Ajira by on 16.12.2025 0 Comments
NAFASI Za Kazi Chuo Kikuu Mzumbe

NAFASI Za Kazi Chuo Kikuu Mzumbe Chuo kikuu cha Mzumbe kinakaribisha maombi kutoka kwa watanzania wenye sifa na uwezo stahiki kujaza nafasi 21 zifuatazo katika nafasi za kitaaluma katika Chuo Kikuu. Kuona nafasi hizo 21 pamoja na Jinsi ya Kutuma Maombi tafadhali Donwload PDF hapa chini. Nafasi Mpya Za Kazi Kutoka Chuo Kikuu Mzumbe. DONWLOAD […]

Continue Reading »

NAFASI Za Ufadhili wa Masomo Shahada Za Uzamili nchini Sweden 2025/2026

Filed in Elimu by on 15.12.2025 0 Comments
NAFASI Za Ufadhili wa Masomo Shahada Za Uzamili nchini Sweden 2025/2026

NAFASI Za Ufadhili wa Masomo Shahada Za Uzamili nchini Sweden 2025/2026 Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Sweden unapenda kuutaarifu umma kuhusu fursa za ufadhili kamili wa masomo ya Shahada ya Uzamili unaotolewa na Taasisi ya Sweden (Swedish Institute – SI). Ufadhili huu unatolewa katika zaidi ya programu 400 za masomo katika nyanja […]

Continue Reading »

MATOKEO ya Usaili wa Kuandika Mwalimu Daraja la IIIC Somo la Baiolojia 14/12/2025

Filed in Usaili by on 15.12.2025 0 Comments
MATOKEO ya Usaili wa Kuandika Mwalimu Daraja la IIIC Somo la Baiolojia 14/12/2025

MATOKEO ya Usaili wa Kuandika Mwalimu Daraja la IIIC Somo la Baiolojia 14/12/2025 Wasailiwa wote waliochaguliwa wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili. Aidha,wasailiwa wote wanakumbushwa kuwa na vyeti halisi pamoja na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi. MWALIMU DARAJA LA IIIC (BAIOLOJIA)

Continue Reading »

MATOKEO ya Usaili wa kuandika Mwalimu Daraja la III B na C Somo la Kemia 13/12/2025

Filed in Usaili by on 14.12.2025 0 Comments
MATOKEO ya Usaili wa kuandika Mwalimu Daraja la III B na C Somo la Kemia 13/12/2025

MATOKEO ya Usaili wa kuandika Mwalimu Daraja la III B na C Somo la Kemia 13/12/2025 Wasailiwa wote waliochaguliwa wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili. Aidha,wasailiwa wote wanakumbushwa kuwa na vyeti halisi pamoja na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi. MWALIMU DARAJA LA III B (KEMIA) (1) MWALIMU DARAJA LA IIIC (KEMIA)

Continue Reading »

KUITWA Kwenye Usaili Bunge Ofisi ya Bunge

Filed in Usaili by on 13.12.2025 0 Comments
KUITWA Kwenye Usaili Bunge Ofisi ya Bunge

KUITWA Kwenye Usaili Bunge Ofisi ya Bunge Katibu wa Bunge Ofisi ya Bunge anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 20/12/2025 hadi 23/12/2025 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo. Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo kwenye PDF hapa chini. DONWLOAD PDF HAPA

Continue Reading »

MASWALI ya Usaili Ajira Za Zimamoto na Uokoaji

Filed in Usaili by on 13.12.2025 0 Comments
MASWALI ya Usaili Ajira Za Zimamoto na Uokoaji

MASWALI ya Usaili Ajira Za Zimamoto na Uokoaji Kupitia Makala hii, utaweza kujifunza baadhi ya maswali na majibu ya kawaida yanayoweza kuulizwa kwenye usaili Jeshi la Zimamoto na Uokoaji. Maswali haya yanakuja baada ya Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kuwatangazia vijana walioomba ajira ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kupitia mfumo wa […]

Continue Reading »

USAILI Nafasi 12000 Za Walimu na Afya Kufanyika Leo 13 December 2025

Filed in Usaili by on 13.12.2025 0 Comments
USAILI Nafasi 12000 Za Walimu na Afya Kufanyika Leo 13 December 2025

USAILI Nafasi 12000 Za Walimu na Afya Kufanyika Leo 13 December 2025 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amesema katika mwaka wa fedha 2025/26 serikali imefanikiwa kutoa vibali vya ajira 41,500 ikiwemo nafasi 12,000 ambako waombaji wenye sifa wameitwa kufanyiwa usaili utakaoanza kesho Disemba 13, […]

Continue Reading »

JINSI ya Kupata Barua ya Kuitwa Kazini Kiganjani Mwako

Filed in Kuitwa Kazini by on 13.12.2025 0 Comments
JINSI ya Kupata Barua ya Kuitwa Kazini Kiganjani Mwako

JINSI ya Kupata Barua ya Kuitwa Kazini Kiganjani Mwako Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imefanya Maboresho ambapo Kuanzia Sasa Barua za kuitwa kazini zitakuwa zinapatikana kwenye Akaunti ya Ajira Portal. Hii inaitwa Kwenda Dodoma sasa basi, huduma zote kiganjani kwako. Endapo Jina lako likitokea katika Tangazo la kuitwa kazini kupitia […]

Continue Reading »

KUITWA Kwenye Usaili Jeshi la Zimamoto na Uokoaji

Filed in Usaili by on 12.12.2025 0 Comments
KUITWA Kwenye Usaili Jeshi la Zimamoto na Uokoaji

KUITWA Kwenye Usaili Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji anawatangazia vijana walioomba ajira ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kupitia mfumo wa ajira ajira.zimamoto.go.tz. kuwa usaili utafanyika kuanzia tarehe 15 Disemba, 2025 hadi tarehe 20 Disemba, 2025 kuanzia saa 1:00 Asubuhi kwa kila kundi kama ifuatavyo. Orodha ya […]

Continue Reading »