Ajira

NAFASI Za Kazi Nyang`hwale District Council

Filed in Ajira by on 06.11.2025 0 Comments
NAFASI Za Kazi Nyang`hwale District Council

NAFASI Za Kazi Nyang`hwale District Council Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri (W) ya Nyang`hwale anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi nne (04) za kazi katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao kwenye PDF hapa chini. Nafasi 4 Mpya Za Kazi Kutoka […]

Continue Reading »

NAFASI Za Kazi Kutoka Chato District Council

Filed in Ajira by on 06.11.2025 0 Comments
NAFASI Za Kazi Kutoka Chato District Council

NAFASI Za Kazi Kutoka Chato District Council Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri (W) ya Chato anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi (06) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao kwenye PDF hapa chini. Nafasi 6 Mpya Za Kazi Kutoka […]

Continue Reading »

NAFASI 28 Za Kazi Bunge la Tanzania

Filed in Ajira by on 06.11.2025 0 Comments
NAFASI 28 Za Kazi Bunge la Tanzania

NAFASI 28 Za Kazi Bunge la Tanzania Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeundwa kwa mujibu wa Ibara ya 62 (1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977. Aidha, Ibara ya 88 (1) ya Katiba inaunda Sekretarieti ya Bunge yenye jukumu la kuliwezesha Bunge kutekeleza majukumu yake. Kwa msingi huo, […]

Continue Reading »

NAFASI Za Kazi Songea District Council

Filed in Ajira by on 06.11.2025 0 Comments
NAFASI Za Kazi Songea District Council

NAFASI Za Kazi Songea District Council Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri (W) ya Songea anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi tano (09) katika Halmashauri hiyo baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao hapa chini kwenye PDF. DONWLOAD PDF HAPA

Continue Reading »

NAFASI Za Kazi Kilimanjaro Christian Medical Center

Filed in Ajira by on 06.11.2025 0 Comments
NAFASI Za Kazi Kilimanjaro Christian Medical Center

NAFASI Za Kazi Kilimanjaro Christian Medical Center Kilimanjaro Christian Medical Center (KCMC) ni hospitali ya rufaa kwa zaidi ya watu milioni 11 ambayo iko chini ya Mlima Kilimanjaro, Tanzania. Kilimanjaro Christian Medical Center ilianzishwa Machi 1971 na Wakfu wa Msamaria Mwema, Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania. Hospitali hiyo ina eneo kubwa lenye vitanda 674, […]

Continue Reading »

NAFASI Za Kazi Silverleaf Academy

Filed in Ajira by on 05.11.2025 0 Comments
NAFASI Za Kazi Silverleaf Academy

NAFASI Za Kazi Silverleaf Academy Silverleaf Academy ni Shule za kibinafsi za awali na msingi nchini Tanzania zinazosomesha watoto wenye umri wa miaka 2-14. Dhamira yao ni kuzipa familia za kipato cha chini nchini Tanzania mafunzo ya hali ya juu katika viwango vya bei nafuu. Kwa kutumia mtaala wa kitaifa wa Tanzania, shule za Silverleaf […]

Continue Reading »

NAFASI Za Kazi Christian Blind Mission Tanzania (CBM)

Filed in Ajira by on 03.11.2025 1 Comment
NAFASI Za Kazi Christian Blind Mission Tanzania (CBM)

NAFASI Za Kazi Christian Blind Mission Tanzania (CBM) CBM (iliyosajiliwa kama Christoffel-Blindenmission Christian Blind Mission eV) ni shirika la maendeleo la kimataifa linalojitolea kuboresha ubora wa maisha ya watu wenye ulemavu katika jumuiya za watu Duniani. Nchini Tanzania, CBM inashirikiana na mashirika ya ndani kutekeleza programu zinazozingatia ushirikishwaji wa walemavu, afya ya macho shirikishi, na […]

Continue Reading »

NAFASI Za Kazi World Bank Tanzania

Filed in Ajira by on 03.11.2025 0 Comments
NAFASI Za Kazi World Bank Tanzania

NAFASI Za Kazi World Bank Tanzania Benki ya Dunia (WBG) ni Benki iyonasaidia maendeleo ya Tanzania kupitia ruzuku, mikopo na uchambuzi wa sera, kwa kuzingatia miradi ya miundombinu, ukuaji wa sekta binafsi na mtaji wa watu. Mfumo wa sasa wa Ubia wa Nchi wa Kundi la Benki ya Dunia kwa Tanzania (FY2025-2029) unasisitiza kuimarisha mtaji […]

Continue Reading »

NAFASI Za Kazi NCBA Bank Tanzania Limited

Filed in Ajira by on 29.10.2025 0 Comments
NAFASI Za Kazi NCBA Bank Tanzania Limited

NAFASI Za Kazi NCBA Bank Tanzania Limited NCBA Bank Tanzania Limited, ni benki iliyounganishwa kati ya Commercial Bank of Africa (Tanzania) na NIC Bank Tanzania. NCBA ni benki ya biashara nchini Tanzania iliyopewa leseni na Benki Kuu ya Tanzania. Benki ya NCBA Tanzania Limited inawaalika watu wenye nia, ari na sifa stahiki kujaza nafasi zilizo […]

Continue Reading »

NAFASI Za Kazi Médecins du Monde Tanzania

Filed in Ajira by on 28.10.2025 0 Comments
NAFASI Za Kazi Médecins du Monde Tanzania

NAFASI Za Kazi Médecins du Monde Tanzania Médecins du Monde-Tanzania, shirika la kimataifa linalofanya kazi na kusajiliwa chini ya Sheria ya NGO 2002, yenye Usajili Na. I-NGO/R2/000116, na yenye ofisi iliyosajiliwa katika Eneo la Masaki, Wilaya ya Kinondoni, SLP 105948, Dar es Salaam, Tanzania. Médecins du Monde ni Shirika linalotafuta kutoa huduma ya matibabu ya […]

Continue Reading »