Tag: BEDIA Ikamba Kutua Simba SC

BEDIA Ikamba Kutua Simba SC

Filed in Michezo, Usajili by on 15.01.2026 0 Comments
BEDIA Ikamba Kutua Simba SC

BEDIA Ikamba Kutua Simba SC Klabu ya Simba inatajwa kufanya mazungumzo na mshambuliaji raia wa DR Congo, Bedia Ikamba, Kutoka Polisi ya Uganda ambaye ameonyesha ubora katika kufunga mabao pengine zaidi ya Steven Mukwala. Taarifa zinasema Simba imefanya Mazungumzo na Ikamba ambapo sasa faili la mshambuliaji huyo limepelekwa kwa kocha Steven Barker akisubiriwa kutoa majibu […]

Continue Reading »