NAFASI 30 Za Kazi TANROADS Morogoro

NAFASI 30 Za Kazi TANROADS Morogoro
NAFASI 30 Za Kazi TANROADS Morogoro
Meneja wa TANROADS Mkoa wa Morogoro kwa niaba ya Mtendaji Mkuu TANROADS anatafuta watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi zilizoachwa wazi kwa miradi ifuatayo. 1. Ujenzi wa Kidatu- Ifakara-Lupiro-Malinyi Kilosa Kwa Mpepo-Londo- Lumecha/Songea (484KM) kwa kiwango cha lami chini ya Usanifu na Ujenzi; Sehemu ya 1: Ifakara-Lupiro-Mtimbira (112KM, Mkataba Na.TRD/HQ/1074/2022/23.
Hivyo basi, TANROADS inakusudia kuajiri watumishi wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi zilizoachwa wazi kwa mikataba maalum ya ajira kwa miradi ya barabara iliyotajwa hapo juu katika fani zifuatazo.
JE, UNATAFUTA AJIRA LEO?BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF YA TANGAZO
Jiunge na Watanzania Wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini Pamoja na Makampuni Mbalimbali Leo Gusa HAPA
Share Kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki nao wapate Fursa hizi Kila Siku.
