MAJINA ya Wagombea Ubunge CHAUMMA 2025

MAJINA ya Wagombea Ubunge CHAUMMA 2025
MAJINA ya Wagombea Ubunge CHAUMMA 2025
Kamati Kuu ya Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) katika kikao chake cha siku mbili ķilichofanyika tarehe 23 hadi 24 Agosti, 2025 imefanya uteuzi wa awamu ya kwanza ya wanachama wanaoomba nafasi za ubunge kwa upande wa Tanzania Bara.
Orodha kamili ya Majina ya walioteuliwa kupeperusha bendera ya CHAUMMA katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika tarehe 29, Oktoba 2025 imeambatanishwa hapa chini kwenye PDF.
BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF
