Ajira

NAFASI 1500 Za Kujitolea Kwa Walimu wa Shule za Sekondari 2026

Filed in Ajira by on 25.01.2026 0 Comments
NAFASI 1500 Za Kujitolea Kwa Walimu wa Shule za Sekondari 2026

NAFASI 1500 Za Kujitolea Kwa Walimu wa Shule za Sekondari 2026 Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM –TAMISEMI) kupitia Mradi wa Kuboresha Kada ya Ualimu “Global Partnership for Education Teacher Support Programme(GPE – TSP)” inatekeleza afua mbalimbali ikiwemo kuratibu upatikanaji wa Walimu wa Kujitolea (engagement of volunteer teachers). […]

Continue Reading »

NAFASI Za Kazi Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Morogoro

Filed in Ajira by on 25.01.2026 0 Comments
NAFASI Za Kazi Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Morogoro

NAFASI Za Kazi Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Morogoro Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Morogoro, inatangaza nafasi za kujitolea kwa kada mbalimbali kwa muda wa miezi kumi na mbili (12) kama ifuatavyo kwenye PDF hapa chini. DONWLOAD PDF YA TANGAZO HAPA

Continue Reading »

NAFASI Za Kazi ECCT Tanzania

Filed in Ajira by on 25.01.2026 0 Comments
NAFASI Za Kazi ECCT Tanzania

NAFASI Za Kazi ECCT Tanzania ECCT ni shirika linaloongozwa na vijana, linalolenga jamii linaloendeleza uhifadhi wa mazingira, hatua za hali ya hewa, na maisha endelevu nchini Tanzania. Linawawezesha vijana, wanawake, na jamii ili kuongoza masuluhisho yanayotokana na wenyeji kupitia mtindo wa duara, maisha rafiki kwa mazingira, elimu ya mazingira, na mipango ya kukabiliana na hali […]

Continue Reading »

NAFASI 200 Za Kazi Kenrom Chemical T Ltd

Filed in Ajira by on 25.01.2026 0 Comments
NAFASI 200 Za Kazi Kenrom Chemical T Ltd

NAFASI 200 Za Kazi Kenrom Chemical T Ltd NAFASI ZA AJIRA 200 WaTAALAMU WA MAUZO NA MASOKO Kampuni ya Kenrom Chemical T Ltd inatangaza nafasi za ajira 200 kwa Watanzania wenye sifa stahiki waishio mkoa wa Dar es salaam kujaza nafasi ya Mtaalamu wa Mauzo na Masoko kama zilivyoainishwa hapa chini kwenye PDF. DOWNLOAD PDF […]

Continue Reading »

NAFASI 200 Za Kazi NMB Bank Plc

Filed in Ajira by on 25.01.2026 0 Comments
NAFASI 200 Za Kazi NMB Bank Plc

NAFASI 200 Za Kazi NMB Bank Plc Benki ya NMB Plc ni benki inayoongoza na iliyoshinda tuzo nchini Tanzania, inayotoa huduma kamili za kibenki kwa zaidi ya wateja milioni 7.1, wakiwemo watu binafsi, wafanyabiashara wadogo na wa kati, na mashirika makubwa. NMB Bank Plc ilianzishwa mwaka wa 1997 kufuatia kuvunjika kwa Benki ya Taifa ya […]

Continue Reading »

NAFASI Za Kazi Bahi District Council

Filed in Ajira by on 24.01.2026 0 Comments
NAFASI Za Kazi Bahi District Council

NAFASI Za Kazi Bahi District Council Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri (W) ya Bahi anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi nane (08) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao kwenye PDF hapa chini. DONWLOAD PDF YA TANGAZO HAPA

Continue Reading »

NAFASI Za Kazi Alexia Hospital

Filed in Ajira by on 23.01.2026 0 Comments
NAFASI Za Kazi Alexia Hospital

NAFASI Za Kazi Alexia Hospital Hospitali ya Alexia ni kituo kilichosajiliwa chini ya Sheria ya Bodi ya Ushauri ya Hospitali za kibinafsi (PHAB) na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, usajili Na. 073359. Hospitali ya Alexia ilianzishwa Aprili 2014 kama Zahanati ya Alexia, Mwaka 2016 kilipandishwa hadhi na kuwa kituo cha […]

Continue Reading »

NAFASI Za Kazi Jitegemee Holdings Company LTD

Filed in Ajira by on 22.01.2026 1 Comment
NAFASI Za Kazi Jitegemee Holdings Company LTD

NAFASI Za Kazi Jitegemee Holdings Company LTD Jitegemee Holdings Company (JHCL) Ltd ni kampuni ya uchimbaji madini yenye ofisi za ushirika jijini Dar es Salaam, Tanzania, Afrika Mashariki. Kampuni ya JHCL ilisajiliwa chini ya BRELA tarehe 17 Machi 2020 na inamilikiwa kikamilifu na wawekezaji wa kitaasisi wanaoaminika kutoka Tanzania na inaendeshwa kwa asilimia 100 na […]

Continue Reading »

NAFASI Za Kazi Songea District Council

Filed in Ajira by on 22.01.2026 0 Comments
NAFASI Za Kazi Songea District Council

NAFASI Za Kazi Songea District Council Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi tano (5) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao kwenye PDF hapa chini. DONWLOAD PDF YA TANGAZO HAPA

Continue Reading »

NAFASI Za Walimu Chunya Pre & Primary English Medium

Filed in Ajira by on 20.01.2026 0 Comments
NAFASI Za Walimu Chunya Pre & Primary English Medium

NAFASI Za Walimu Chunya Pre & Primary English Medium Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya anawatangazia wananchi wenye sifa za kujaza nafasi za Ajira Ualimu ya Muda (Vibarua) katika Shule ya Awali na Msingi ya Mchepuo wa Kiingereza (CHUNYA PRE & PRIMARY ENGLISH MEDIUM). Nafasi za Ualimu zinazohitajika 5 Ngazi ya Stashahada 2 […]

Continue Reading »