nijuze's Latest Posts

NAFASI Za Kazi Serengeti Lake Magadi Lodge

Filed in Ajira by on 13.09.2025 0 Comments
NAFASI Za Kazi Serengeti Lake Magadi Lodge

NAFASI Za Kazi Serengeti Lake Magadi Lodge Wellworth, mwendeshaji anayekua kwa kasi wa Lodge za nyota tano nchini Tanzania, anatafuta watu wenye nia, ujuzi na sifa kujaza nafasi Mbalimbali zilizotangazwa na Serengeti Lake Magadi Lodge. Nafasi hizo zimeambatanishwa hapa chini kwenye PDF. Nafasi Mpya Za Kazi Kutoka Serengeti Lake Magadi Lodge. BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF […]

Continue Reading »

NAFASI Za Kazi Katavi Institute of Science and Development Studies (KISDES)

Filed in Ajira by on 13.09.2025 0 Comments
NAFASI Za Kazi Katavi Institute of Science and Development Studies (KISDES)

NAFASI Za Kazi Katavi Institute of Science and Development Studies (KISDES) Katavi Institute of Science and Development Studies (KISDES) ni Chuo kilichosajiliwa na NACTVET kwa usajili namba REG/BTP/094. Chuo kipo Mkoa wa Katavi, Manispaa ya Mpanda. Chuo kinatoa mafunzo katika fani za Famasia, Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Jamii, Utalii, ICT, Usaidizi wa Maabara (Laboratory […]

Continue Reading »

MAGAZETI ya Leo Jumamosi tarehe 13 September 2025

Filed in Magazetini Leo by on 13.09.2025 0 Comments
MAGAZETI ya Leo Jumamosi tarehe 13 September 2025

MAGAZETI ya Leo Jumamosi tarehe 13 September 2025 Rais wa Chama cha Mawakili wa Serikali Tanzania (TPBA), Bavoo Junus, amewashauri wananchi kuepuka kujadili masuala ya kisheria bila kuwa na uelewa wa kutosha, akisema hatua hiyo imekuwa ikisababisha upotoshaji mkubwa unaoweza kudhoofisha imani ya jamii kwa taasisi za sheria. Akizungumza Ijumaa, Septemba 12, 2025, jijini Dodoma, […]

Continue Reading »

KUITWA Kazini UTUMISHI 12/09/2025

Filed in Ajira by on 12.09.2025 0 Comments
KUITWA Kazini UTUMISHI 12/09/2025

KUITWA Kazini UTUMISHI 12/09/2025 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 05-09-2024 na tarehe 18-06-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata […]

Continue Reading »

NAFASI Za Kazi Magu District Council

Filed in Ajira by on 12.09.2025 0 Comments
NAFASI Za Kazi Magu District Council

NAFASI Za Kazi Magu District Council Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi tatu (03) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao kwenye PDF hapa chini. BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF

Continue Reading »

MAGAZETI ya Leo Ijumaa tarehe 12 September 2025

Filed in Magazetini Leo by on 12.09.2025 0 Comments
MAGAZETI ya Leo Ijumaa tarehe 12 September 2025

MAGAZETI ya Leo Ijumaa tarehe 12 September 2025 Watu sita wamefariki Dunia papo hapo na mmoja kujeruhiwa baada ya gari walikokuwa wakisafiria kugonga kwa nyuma gari lililokuwa limeegeshwa barabarani baada ya kuharibika. Ajali hiyo imetokea katika Kijiji cha Buganjo wilayani Rorya wakati gari aina ya Toyota Succeed likiwa limebeba watu saba likiwa linatoka mjini Tarime […]

Continue Reading »

MATOKEO ya Usaili wa Kuandika MUST 11/09/2025

Filed in Usaili by on 11.09.2025 0 Comments
MATOKEO ya Usaili wa Kuandika MUST 11/09/2025

MATOKEO ya Usaili wa Kuandika MUST 11/09/2025 Haya hapa Matokeo ya Usaili wa Kuandika Chuo Kikuu Cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) uliofanyika tarehe 11/09/2025 Aidha,wasailiwa wote wanakumbushwa kuwa na vyeti halisi pamoja na kitambulisho kwaajili ya utambuzi. TUTORIAL ASSISTANT – CIVIL ENGINEERING TUTORIAL ASSISTANT – COMPUTER SCIENCE TUTORIAL ASSISTANT – DATA SCIENCE TUTORIAL ASSISTANT- […]

Continue Reading »

NAFASI Za Kazi Qatar Charity Tanzania

Filed in Ajira by on 11.09.2025 0 Comments
NAFASI Za Kazi Qatar Charity Tanzania

NAFASI Za Kazi Qatar Charity Tanzania Position: Food Security & Livelihood Officer Base Location: Dar Es Salaam, with frequent field visits across Tanzania Region. Contract Duration: Six months with possibility of extension Desired Start Date: ASAP Job Purpose: To plan and supervise implementation of the FSL projects in Tanzania mainland and Zanzibar ensuring that (i) […]

Continue Reading »

MAGAZETI ya Leo Alhamisi tarehe 11 September 2025

Filed in Magazetini Leo by on 11.09.2025 0 Comments
MAGAZETI ya Leo Alhamisi tarehe 11 September 2025

MAGAZETI ya Leo Alhamisi tarehe 11 September 2025 Mbunge wa Nzega Mjini ambaye pia ni Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amemuomba Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan akifanikiwa kushinda na kuwa Rais wa Tanzania kwa awamu nyingine aidhinishe kugawanywa kwa Mkoa wa Tabora ili upatikane Mkoa mwingine wa Nzega kutokana na […]

Continue Reading »

NAFASI Za Kazi Wakala wa Majengo Tanzania (TBA)

Filed in Ajira by on 10.09.2025 0 Comments
NAFASI Za Kazi Wakala wa Majengo Tanzania (TBA)

NAFASI Za Kazi Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) ✅ESTATE OFFICER II (PROPERTIES AND FACILITIES MANAGEMENT) – 2 POSTS DUTIES AND RESPONSIBILITIES To assist Senior Estate Officer in undertaking optimal use of Government Real Estate. To participate in carrying out management survey of all Government Properties to establish a benchmark of proper use. To undertake recording […]

Continue Reading »