Ajira

NAFASI Za Kazi Musoma District Council

Filed in Ajira by on 03.09.2025 2 Comments
NAFASI Za Kazi Musoma District Council

NAFASI Za Kazi Musoma District Council Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma anayofuraha kuwatangazia nafasi za kazi kumi na nne (14) baada ya kupokea Kibali cha Ajira mpya kwa Mwaka 2024/2025 chenye Kumb. Na. FA.97/288/01/A/25 cha tarehe 29 Aprili, 2025 kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora. Hivyo […]

Continue Reading »

NAFASI Za Kazi Kairuki Hospital

Filed in Ajira by on 02.09.2025 0 Comments
NAFASI Za Kazi Kairuki Hospital

NAFASI Za Kazi Kairuki Hospital Kairuki Hospital invites applicants who are highly motivated, qualified, competent & experienced to fill the following vacant positions: ✅Marketing & Public Relations Manager (1 Position) Location: Mikocheni, Dar es Salaam Employment Type: Full-Time Department: Marketing and PR Reports To: Director General Job Summary: The Marketing and Public Relations Manager will […]

Continue Reading »

NAFASI Za Kazi Rorya District Council

Filed in Ajira by on 02.09.2025 0 Comments
NAFASI Za Kazi Rorya District Council

NAFASI Za Kazi Rorya District Council Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri (W) ya Rorya anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi kumi na nne (14) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao kwenye PDF hapa chini. Nafasi 14 Za Kazi […]

Continue Reading »

CAS Selection 2025

Filed in Ajira by on 02.09.2025 0 Comments
CAS Selection 2025

CAS Selection 2025 Baraza la Taifa la Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) ni chombo cha ushirika kilichoanzishwa kwa mujibu wa Sheria ya NACTVET, Sura. 129, kuratibu na kudhibiti utoaji wa elimu na mafunzo ya ufundi stadi. Baraza hilo hudhibiti mfumo bora wa sifa za kitaifa ambao utahakikisha kuwa bidhaa kutoka kwa taasisi za […]

Continue Reading »

NAFASI Za Kazi XYZ Transport Limited

Filed in Ajira by on 01.09.2025 0 Comments
NAFASI Za Kazi XYZ Transport Limited

NAFASI Za Kazi XYZ Transport Limited Kampuni ya usafirishaji ya XYZ Transport Ltd na Rainbow Assembling Ltd, zinatangaza nafasi 30 ya kazi ya udereva wa magari makubwa, malori (tipping trailer). Watanzania wenye sifa na uzoefu wanakaribishwa Kutuma Maombi Kwa Sifa tajwa hapa chini. SIFA ZA MUOMBAJI NA VIGEZO Awe na mafunzo ya udereva kutoka chuo […]

Continue Reading »

NAFASI 35 Za Walimu Tunduru District Council

Filed in Ajira by on 01.09.2025 0 Comments
NAFASI 35 Za Walimu Tunduru District Council

NAFASI 35 Za Walimu Tunduru District Council Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru anapenda kuwatangazia watanzania wote wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi za kazi za Mkataba za Mwalimu B, Kwa Masomo ya Biashara (Nafasi III 31), Kiingereza (Nafasi 02) na Historia (Nafasi 02). Hivyo anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania […]

Continue Reading »

NAFASI 50 Za Kazi Chuo Kikuu cha Sokoine Cha Kilimo (SUA)

Filed in Ajira by on 01.09.2025 0 Comments
NAFASI 50 Za Kazi Chuo Kikuu cha Sokoine Cha Kilimo (SUA)

NAFASI 50 Za Kazi Chuo Kikuu cha Sokoine Cha Kilimo (SUA) TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA KWA WAHITIMU HAMSINI (50) WENYE TAALUMA YA KILIMO KWAAJILI YA KUENDELEZA ZAO LA PARACHICHI Chuo Kikuu cha Sokoine Cha Kilimo (SUA) kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo (MoA) kinatekeleza programu ya kushirikisha vijana katika kilimo ya Jenga Kesho iliyo […]

Continue Reading »

NAFASI Za Kazi Tarime District Council

Filed in Ajira by on 01.09.2025
NAFASI Za Kazi Tarime District Council

NAFASI Za Kazi Tarime District Council Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri (W) ya Tarime anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi kumi (10) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao kwenye PDF hapa chini. Nafasi Mpya Za Kazi Kutoka Halmashauri […]

Continue Reading »

NAFASI Za Kazi M-Gas Tanzania Limited

Filed in Ajira by on 31.08.2025 0 Comments
NAFASI Za Kazi M-Gas Tanzania Limited

NAFASI Za Kazi M-Gas Tanzania Limited M-Gas ni kampuni inayotoa mafuta safi ya kupikia kwa kaya nchini Kenya na maeneo mengine ya Afrika Mashariki. M-Gas inatumia kielelezo cha “Lipa-As-You-Cook”, ambacho kinatumia teknolojia ya mita mahiri ili kufanya gesi ya LPG iwe rahisi na kufikika. Lengo la kampuni hiyo ni kuondoa gharama kubwa ya awali ya […]

Continue Reading »

NAFASI Za Kazi YARA Tanzania

Filed in Ajira by on 31.08.2025 0 Comments
NAFASI Za Kazi YARA Tanzania

NAFASI Za Kazi YARA Tanzania YARA Tanzania ni kampuni iliyosajiliwa chini ya Sheria za Tanzania kama kampuni tanzu ya Fertilizers Holdings AS yenye makao yake Makuu Jijini Dar es Salaam, Tanzania. Lengo Kuu la YARA ni kuendeleza dhana ya soko inayoongeza idadi ya wakulima wanaotumia mbolea ikiwa ni pamoja na ujuzi bora wa lishe ya […]

Continue Reading »