Usaili

MATOKEO YA Usaili wa Vitendo TASHICO 17/03/2026

Filed in Usaili by on 18.03.2026 0 Comments
MATOKEO YA Usaili wa Vitendo TASHICO 17/03/2026

MATOKEO YA Usaili wa Vitendo TASHICO 17/03/2026 Wasailiwa wote waliochaguliwa wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili. Aidha, wasailiwa wote wanakumbushwa kuwa na vyeti halisi pamoja na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi. ORDINARY SAILOR II

Continue Reading »

MABADILIKO ya Ratiba ya Usaili Kada ya Dereva II MOI

Filed in Usaili by on 17.03.2026 0 Comments
MABADILIKO ya Ratiba ya Usaili Kada ya Dereva II MOI

MABADILIKO ya Ratiba ya Usaili Kada ya Dereva II MOI Wasailiwa mliopaswa kufanya usaili wa DRIVER II – TAASISI YA TIBA YA MIFUPA MUHIMBILI (MOI) tarehe 17 Machi 2026, mnaarifiwa kuwa;- tarehe ya usaili huo imesogezwa. MABADILIKO YA RATIBA YA USAILI WA MADEREVA MOI – MARCH 2026

Continue Reading »

MATOKEO ya Usaili wa Kuandika UTUMISHI 15/03/2026

Filed in Usaili by on 17.03.2026 0 Comments
MATOKEO ya Usaili wa Kuandika UTUMISHI 15/03/2026

MATOKEO ya Usaili wa Kuandika UTUMISHI 15/03/2026 Wasailiwa wote waliochaguliwa wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili. Aidha, wasailiwa wote wanakumbushwa kuwa na vyeti halisi pamoja na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi. AIRCRAFT MARSHALLER II AIRPORT OPERATION OFFICER II ARTISANS II – CIVIL ARTISANS II – ELECTRICAL ARTISANS II – PLUMBING ASSISTANT ACCOUNTANT II ASSISTANT AIRPORT […]

Continue Reading »

KUITWA Kwenye Usaili MOI, GST, CBE, TPDC, TAA, TAWIRI, TPC, TIRDO na IAE 12/03/2026

Filed in Usaili by on 12.03.2026 0 Comments
KUITWA Kwenye Usaili MOI, GST, CBE, TPDC, TAA, TAWIRI, TPC, TIRDO na IAE 12/03/2026

KUITWA Kwenye Usaili MOI, GST, CBE, TPDC, TAA, TAWIRI, TPC, TIRDO na IAE 12/03/2026 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzani (TPDC), Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST), […]

Continue Reading »

KUITWA Kwenye Usaili Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure RRH

Filed in Usaili by on 10.03.2026 0 Comments
KUITWA Kwenye Usaili Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure RRH

KUITWA Kwenye Usaili Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure RRH Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure RRH anapenda kuwataarifu waombaji wote kama walivyoainishwa kwenye jedwalli hapa chini kuwa wanatakiwa kuhudhuria Usaili utakaofanyika katika Ukumbi wa Mganga Mfawidhi Alhamisi kuanzia saa 2:30 asubuhi tarehe 12/03/2026 Orodha ya […]

Continue Reading »

KUITWA Kazini MUCE March 2026

Filed in Usaili by on 07.03.2026 0 Comments
KUITWA Kazini MUCE March 2026

KUITWA Kazini MUCE March 2026 Naibu Rasi – Mipango, Fedha na Utawala wa Chuo Kishiriki cha Elimu Mkwawa (MUCE) anapenda kuwataarifu waombaji kazi mbalimbali waliofanya usaili tarehe 13 Februari, 2026 kuwa majina ya walioitwa kazini ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Waombaji waliofaulu usaili watatakiwa kukamilisha taratibu mbalimbali za ajira kuanzia tarehe 09 Machi, 2026 […]

Continue Reading »

KUITWA Kwenye Usaili TAA March 2026

Filed in Usaili by on 07.03.2026 0 Comments
KUITWA Kwenye Usaili TAA March 2026

KUITWA Kwenye Usaili TAA March 2026 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 15/03/2026 hadi 15/04/2026 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo. Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili […]

Continue Reading »

KUITWA Kwenye Usaili MUST 03/03/2026

Filed in Usaili by on 03.03.2026 0 Comments
KUITWA Kwenye Usaili MUST 03/03/2026

KUITWA Kwenye Usaili MUST 03/03/2026 Makamu Mkuu wa Chuo,Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 05/03/2026 hadi 06/03/2026 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo. Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo kwenye PDF hapa chini. DONWLOAD […]

Continue Reading »

KUITWA Kwenye Usaili TAA, TASAC, CBE, IAE, GST, TBA, MOI, TPC, TAWIRI na TASHICO 02/03/2026

Filed in Usaili by on 02.03.2026 0 Comments
KUITWA Kwenye Usaili TAA, TASAC, CBE, IAE, GST, TBA, MOI, TPC, TAWIRI na TASHICO 02/03/2026

KUITWA Kwenye Usaili TAA, TASAC, CBE, IAE, GST, TBA, MOI, TPC, TAWIRI na TASHICO 02/03/2026 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST), Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima […]

Continue Reading »

KUITWA Kwenye Usaili DUCE 28/02/2026

Filed in Usaili by on 01.03.2026 0 Comments
KUITWA Kwenye Usaili DUCE 28/02/2026

KUITWA Kwenye Usaili DUCE 28/02/2026 Rasi, Chuo Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (DUCE) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 11/03/2026 hadi 12/03/2026 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo. Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo kwenye PDF hapa chini. DONWLOAD PDF HAPA

Continue Reading »