Usaili

KUITWA Kwenye Usaili TARURA Tanzania

Filed in Usaili by on 24.01.2026 0 Comments
KUITWA Kwenye Usaili TARURA Tanzania

KUITWA Kwenye Usaili TARURA Tanzania Kwa niaba ya Mtendaji Mkuu, Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Kilimanjaro, inawakaribisha Wagombea wote walioteuliwa kuhudhuria usaili wa nafasi ya Udereva II utakaofanyika tarehe 29 na 30 Januari 2026, katika Chuo cha VETA Moshi saa 8:00 asubuhi. Waombaji wanatakiwa kuwasilisha vyeti vyao halisi, vyeti vya […]

Continue Reading »

MATOKEO ya Usaili wa Vitendo UTUMISHI 22/01/2026

Filed in Usaili by on 24.01.2026 0 Comments
MATOKEO ya Usaili wa Vitendo UTUMISHI 22/01/2026

MATOKEO ya Usaili wa Vitendo UTUMISHI 22/01/2026 Haya hapa Matokeo ya Usaili wa Vitendo uliofanyika tarehe 22/01/2026 Wasailiwa wote waliochaguliwa wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili. Aidha, wasailiwa wote wanakumbushwa kuwa na vyeti halisi pamoja na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi. FERRY CAPTAIN II (1)

Continue Reading »

KUITWA Kwenye Usaili NAOT, MNH, RUWASA na TMC 2026

Filed in Usaili by on 22.01.2026 0 Comments
KUITWA Kwenye Usaili NAOT, MNH, RUWASA na TMC 2026

KUITWA Kwenye Usaili NAOT, MNH, RUWASA na TMC 2026 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Tume ya Madini (TMC), Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA), Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) anapenda kuwataarifu […]

Continue Reading »

MATOKEO ya Usaili wa Vitendo UTUMISHI 18-20/01/2026

Filed in Usaili by on 20.01.2026 0 Comments
MATOKEO ya Usaili wa Vitendo UTUMISHI 18-20/01/2026

MATOKEO ya Usaili wa Vitendo UTUMISHI 18-20/01/2026 Haya hapa Matokeo ya Usaili wa Vitendo UTUMISHI uliofanyika tarehe 18-20/01/2026 Wasailiwa wote waliochaguliwa wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili. Aidha, wasailiwa wote wanakumbushwa kuwa na vyeti halisi pamoja na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi. MPISHI DARAJA LA II (COOK II ) FUNDI SANIFU DARAJA LA II

Continue Reading »

MATOKEO ya Usaili wa Vitendo UTUMISHI 19/01/2026 

Filed in Usaili by on 19.01.2026 0 Comments
MATOKEO ya Usaili wa Vitendo UTUMISHI 19/01/2026 

MATOKEO ya Usaili wa Vitendo UTUMISHI 19/01/2026 Haya hapa Matokeo ya Usaili wa Vitendo UTUMISHI uliofanyika tarehe 19/01/2026 Wasailiwa wote waliochaguliwa wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili. Aidha, wasailiwa wote wanakumbushwa kuwa na vyeti halisi pamoja na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi. MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II (OFFICE MANAGEMENT SECRETARY GRADE II) OFFICE MANAGEMENT […]

Continue Reading »

KUITWA Kwenye Usaili NHC, TMC, VETA, MDAs & LGAs, MNH na NAOT 18/01/2026

Filed in Usaili by on 18.01.2026 0 Comments
KUITWA Kwenye Usaili NHC, TMC, VETA, MDAs & LGAs, MNH na NAOT 18/01/2026

KUITWA Kwenye Usaili NHC, TMC, VETA, MDAs & LGAs, MNH na NAOT 18/01/2026 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya MDAs & LGAs, Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT), Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), Tume ya Madini (TMC), National Housing Corporation (NHC), Hospitali ya Taifa Muhimbili […]

Continue Reading »

KUITWA Kwenye Mafunzo Jeshi la Zimamoto na Uokoaji 2026

Filed in Usaili by on 13.01.2026 0 Comments
KUITWA Kwenye Mafunzo Jeshi la Zimamoto na Uokoaji 2026

KUITWA Kwenye Mafunzo Jeshi la Zimamoto na Uokoaji 2026 Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linatangaza majina ya Vijana waliochaguliwa kuhudhuria mafunzo ya Uaskari ngazi ya Konstebo wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji. Wahusika wanatakiwa kufika Chuo cha Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kilichopo Chogo Wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga kuanzia tarehe 19 hadi 21 […]

Continue Reading »

KUITWA Kwenye Usaili UTUMISHI 09/01/2026

Filed in Usaili by on 10.01.2026 0 Comments
KUITWA Kwenye Usaili UTUMISHI 09/01/2026

KUITWA Kwenye Usaili UTUMISHI 09/01/2026 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Chuo cha Ardhi Morogoro (ARIMO), MDAs & LGAs, Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA), Makumbusho ya Taifa la Tanzania (NMT), Tume ya Madini (TMC), Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya […]

Continue Reading »

KUITWA Kwenye Usaili Wizara ya Maliasili na Utalii

Filed in Usaili by on 05.01.2026 0 Comments
KUITWA Kwenye Usaili Wizara ya Maliasili na Utalii

KUITWA Kwenye Usaili Wizara ya Maliasili na Utalii Katibu mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii anapenda kuwataarifu waombaji kazi wote walioomba Nafasi ya kazi ya “Sustainable Food Systems Specialist in the Rice Sector Development” na “Gender and Safe Guard Specialist” za Mradi wa “Mifumo ya Chakula, Matumizi ya Ardhi na Urejeshaji wa Mandhari katika Maeneo […]

Continue Reading »

KUITWA Kwenye Usaili wa Mahojiano Tume ya Utumishi wa Mahakama 2025

Filed in Usaili by on 26.12.2025 0 Comments
KUITWA Kwenye Usaili wa Mahojiano Tume ya Utumishi wa Mahakama 2025

KUITWA Kwenye Usaili wa Mahojiano Tume ya Utumishi wa Mahakama 2025 Kufuatia usaili wa hatua ya kwanza wa Kada mbalimbali uliofanyika tarehe 16 Desemba hadi tarehe 23 Desemba, 2025 katika vituo mbalimbali nchini, Tume ya Utumishi wa Mahakama inawatangazia waombaji wa nafasi mbalimbali walioorodheshwa kwenye tangazo hili kuwa, wamechaguliwa kuhudhuria usaili wa ana kwa ana […]

Continue Reading »